Muhtasari
•Huku akizungumzia sifa anazopenda kwa Samidoh, Seneta Nyamu alimsifu na kufichua ana vibe ya kuvutia sana ambayo anaipenda.
•"Kwa kawaida huwa anasema baadhi ya mambo na najua maishani mwangu sitawahi kusikia mtu mwingine akiyasema," Nyamu alisema.