Muhtasari
Mashambulio ya makombora ya Urusi yaligonga vituo vidogo vya umeme karibu na mji wa magharibi wa Lviv Jumanne jioni.
Mashambulio ya makombora ya Urusi yaligonga vituo vidogo vya umeme karibu na mji wa magharibi wa Lviv Jumanne jioni.
Mashambulizi hayo yanakisiwa kuelekezwa dhidi ya mtandao wa reli wa Ukraine, ambao ni muhimu kwa usambazaji wa silaha kutoka kwa washirika wa magharibi kuelekea mashariki mwa nchi hiyo.