Muhtasari
Mtu mmoja ameaga dunia katika ajali hiyo
Ndege moja ya helikopta ya shirika la KWS imeanguka mwendo wa saa moja na dakika 38 na kumwuua mtu mmoja . Ajali hiyo iltokea katika eneo la Orly Airpark wakati ikifanya mazoezi na ilihusisha ndege aina ya AutoGyro MTOsport2010 yenye nambari ya usajili 5Y-KWV.
KWS imesema uchunguzi kuhusu chanzo cha aali hiyo utafanywa .