Muhtasari
• Rais wa Marekani Joe Biden amemteua aliyekuwa Afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya Hewlett Packard (HP) na rais Meg Whitman kuwa balozi wa Marekani nchini Kenya.
• Aligombea ugavana wa jimbo la California mwaka wa 2010 kwa chama cha Republican lakini akashindwa na mgombea wa Democrat Jerry Brown.
• Alimuunga mkono seneta wa sasa Mitt Romney akigombea urais mwaka wa 2008.