Muhtasari
• Hii ni baada ya kudorora kwa asilimia 0.3 mwaka 2020, kutokana na athari za janga la Covid-19.
• Gharama ya maisha hata hivyo iliongezeka kwa kiwango cha juu zaidi katika kipindi cha miaka 4 kwa asilimia 6.1% mwaka 2021.
• Sekta ya usafiri ilirekodi kiwango cha juu zaidi cha mfumuko wa bei cha 12.3% kutokana na kuongezeka kwa bei za petroli na dizeli.