Wizi wa mifugo lazima ukome na sio tafadhali-Rais Ruto asema

Hii inapelekea jamii za wafugaji kupoteza mifugo na pia kupoteza wanafamilia wao wapendwa.

Muhtasari
  • Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa alikuwa akiunga mkono wazo la Ruto na anahimiza wizi wa Ng'ombe ukome mara moja
DP RUTO WAKATI WA MANIFESTO YA KENYA KWANZA 30 JUNI 2022
Image: EZEKIEL AMING'A

Rais Dkt William Samoei Ruto hatimaye amekabiliana na wizi wa Ng'ombe Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizi wa mifugo umekuwa mkali sana kwa muda mrefu.

Hii inapelekea jamii za wafugaji kupoteza mifugo na pia kupoteza wanafamilia wao wapendwa.

 Ruto amechukua hatua ya kuagiza mashirika ya usalama kukabiliana vilivyo na waathiriwa wa wizi wa Ng'ombe Turkana na Pokot.

Haya yanajiri baada ya maafisa 8 wa usalama kupoteza maisha kutokana na wizi wa Ng'ombe.

Ruto Baada ya kupokea ripoti ya kina kuhusu tukio la Turkana/Pokot ambalo lilisababisha maafisa 8 wa usalama/utawala kupoteza maisha, aliagiza vyombo vya usalama kushughulikia kwa uthabiti, kwa uamuzi na kwa ukamilifu na wale wanaohusika. 

" Baada ya kupokea ripoti ya kina kuhusu tukio la Turkana/pokot lililosababisha maafisa 10 wa usalama/utawala kupoteza maisha, nimeagiza mashirika ya usalama kushughulikia kwa uthabiti, madhubuti na kwa uthabiti. pamoja na wanaohusika. Cattle rustling will stop na sio tafadhali.

Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa alikuwa akiunga mkono wazo la Ruto na anahimiza wizi wa Ng'ombe ukome mara moja.