• Chopa ya KDF imeanguka katika eneo la Kaben, Marakwet Mashariki, na idadi isiyojulikana ya watu
Chopa ya KDF imeanguka katika eneo la Kaben, Marakwet Mashariki, na idadi isiyojulikana ya watu. Maafisa wanasema kuna majeruhi. Eneo hilo limezingirwa. Tutakujuza habari zaidi....