Alikuwa ameteuliwa katika tuzo la AMVCA kama muigizaji bora baada ya kuigiza katika filamu ya humu nchini kwa jina, Disconnect ambapo aliwasihi mashabiki wake wamsaidie kuleta tuzo hilo humu nyumbani.
Kama kawaida wakenya walijitolea kwa hamu na gamu na kumpigia kura na kupelekea Pascal kushinda tuzo hilo. Kupitia mtandao wake wa kijamii, muigizaji na msanii huyo alitangaza habari hizo njema akisema;
It’s coming HOME😂😂😂😂😂😂 #bestsupportingactor! Thank you all for your support!! TUZIDI MBELE!!😅😅🇰🇪🇰🇪🇰🇪#disconnect #amvca2020
King Kaka ambaye ni rafikiye Tokodi ni mmoja wa waliojawa na furaha kufuatia ushindi huu wa kipekee na alisema kuwa hakuwa na tashwishi lolote kuwa angeshinda tuzo hilo.
“I am so so happy utadhani ni yangu. Congratulations Brother , told you we have to reclaim what’s ours. You deserve it no question. When you win , we all win.” King Kaka alisema.
Ma celeb kutoka Afrika mashariki waliungana na kumpa hongera Tokodi;
Sarah Hassan: Congratulations 🎉🎊🎈💃🏾🎉
Hamisa Mobetto: Congratulations 🎉 💃🏽💃🏽
Kate Actress(ambaye pia alikuwa kwenye filamu hiyo ya, Disconnect): Dude we are so proud of you 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kartelo: 🍻🍻 CONGRATULATIONS
Pierra Makena: Yaaaaaas
Joyce Maina : Congratulations!!!! 👏🏾👏🏾👏🏾
Kriss Darkin: 🙌🙌🙌🙌 CONGRATULATIONS buuuuuuuuda
Bien: CONGRATULATIONS CHAMP
Sailors: Congratulations G
Willis Raburu: Wonderful brother 💯🙏🏾
Kila mmoja hapa Radio Jambo tunampa Tokodi pongezi na kumtakia baraka tele.