HopeKid azungumzia kiki za mabango zake Ringtone

QQhk9kpTURBXy83YTU3NDdiODQzMTViYmMwNGQ3ZmZhOWFlZmE2Y2EyMS5qcGeSlQMAHM0EOM0CX5MFzQMUzQG8gaEwAQ
QQhk9kpTURBXy83YTU3NDdiODQzMTViYmMwNGQ3ZmZhOWFlZmE2Y2EyMS5qcGeSlQMAHM0EOM0CX5MFzQMUzQG8gaEwAQ
Katika kikao cha kijanja kinachohusu habari za mastaa nchini kinachokwenda kwa jina Papa Na Mastaa, HopeKid amefunguka la moyoni kumhusu msanii mwenzake katika tasnia ya muziki wa injili Ringtone Apoko. Muimbaji ameteka vichwa vya habari jana baada ya kufukuzwa kanisani alipotokea na bango la kumtafuta mke.

Soma hapa hadithi nyingine:

https://www.instagram.com/p/BzDJo8MnP0N/

"Ukisema nifanye kiki nitakuwa sasa mimi sio mwanamuziki. Itakuwa sasa mimi ni Ringtone.Sitakuwa mwanamuziki." HopeKid.

"Maneno ya Ringtone ni magumu sana. Ni rafiki yetu. Ni ndugu yetu mkubwa. Hatumwelewi kabisa pia sisi. Naweza penda sana kufanya muziki na yeye." Alimdokeza mtangazaji Rais Papa.

Tazama hapa:

HopeKid ambaye anafanya muziki wa New School Dancehall sasa anatamba freshi na kibao hatari cha Control Me anazidi kutia fora katika tasnia ya muziki wa injili hapa nchini.

Staa huyu amesimulia Rais Papa jinsi angetamani sana kufanya nyimbo na staa wa muziki Chris Martin. HopeKid kwa sasa ni balozi wa  Autism Lights. Autism au tawahudi ni ugonjwa wa ngozi unaomfanya mtu kuonekana ni kama amechomeka.

Mapema mwakani muimbaji huyu alikuwa amechonganishwa katika skendo na mwenzake Dk Kwenye Beat. HopeKid anasema kuwa walisuluhisha swala hilo na kwa sasa wako freshi.

"The whole story was resolved na tuka-move on." amesema HopeKid

"Dk tumegrow na yeye. He's a brother to me."