"Lets go Kenya...," mtoto wa Gidi aishabikia timu ya raga ya kitaifa

Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Patanisho, Gidi Ogidi jana alichapisha kwenye mtandao wake maridhawa wa insta kipande cha video wakizungumza na mtoto wake Marie Rose kupitia mfumo wa mawasiliano wa Skype.

Soma hapa:

Katika video hiyo, Marie anamulezea babake jinsi alivyoshabikia timu ya kitaifa ya raga katika msururu wa mwisho wa michuano hiyo mwaka huu.

Gidi husafiri mara kwa mara kuenda nchini Ufaransa kuwaona bibi yake Ziva Elijah na mtoto wake. Mtoto huyu alikuwa akiimba kwa furaha. Tazama hapa:

https://www.instagram.com/p/BypYjSJgY9n/

"Lets go Kenya, Lets go Kenya."

Soma hapa:

Gidi anaendesha kipindi kikubwa na hapa nchini. Kulingana na utafiti wa kundi la  Geo Poll Survey, Kipindi cha hiki kinasikilizwa na idadi kubwa ya wakenya hivi kumweka Gidi na mwenzake Ghost katika ramani ya watangazaji nguli nchini.