Mahakama ya juu yatekeleza ushindi wa gavana wa Nyamira John Nyagarama

Mahakama ya juu Jumatano ilizingatia uchaguzi wa gavana wa Nyamira, John Nyagarama.

Jaji Njoki Ndung'u aliweza kusema kuwa mwombaji Walter Nyambati hakuitika vizuri mamlaka ya mahakama.

Nyambati, wa chama cha Jubilee, alikuwa ana gombea kiti cha ugavana katika uchaguzi wa 2017, dhidi ya ushindi wa Nyagarama wa chama cha ODM.

Osebe aliweza kuenda katika mahakama ya kilele (apex court) baada ya kutorithishwa na maamuzi ya mahakama ya juu, ilioko katika kaunti ya Nyamira na pia kutorothishwa na mahakama ya rufaa, ambayo iko katika kaunti ya Kisumu.

Wakati huo huo mahakama ya kilele inatarajiwa kuamua hatma ya gavana wa kaunti ya Embu Martin Wambora.

Ambao ushindi wake umepatwa na changamoto kwa aliyekuwa seneta wa kaunti huyo ya Embu, Lenny Kivuti.

Kivuti pia hakurithishwa na hukumu ya mahakama ya rufaa, kwamba walipindua maamuzi ya mahakama ya juu kwa kubatilisha uchaguzi wa Wambora.

Anaitaka mahakama kuu kubatilisha ushindi wa Wambora na kisha kufanya uchaguzi mpya.

Jaji William Ouko, Daniel Musinga na Fatuma Sichale walitawala katika neema za Wambora. Majaji hao watatu walisema kuwa Kivuti alipea ushindi wa gavana changamoto katika uchaguzi wa Agosti 2017, na wala hakuthibitisha kesi yake.

Pia walisema kuwa Kivuti hakutekeleza jukumu kisheria na ushahidi uliotakikana kuonyesha kuwa madai kuwa makosa yalitoke wakati wa uchaguzi.