Mazoezi ni afya! Massawe, Akothee na ma celeb wanaopiga tizi!

Mwaka wa 2020 umeanza kwa mpigo huku ma celeb wengi wakiamua kuingia gym na kufanya mazoezi, lengo lao likiwa kuboresha afya yao kwa kuongeza au kupunguza uzani.

Kwa wakati fulani, Gidi alikuwa mmoja wa ma celebs ambao walikuwa wanapiga tizi huku lengo lake likiwa kupunguza utambi na juhuzi zake zilizaa matunda baada ya miezi kadhaa.

Mwenzake Ghost Mulee ambaye ana shule yake ya kukuza vipaji vya soka, anajulikana kwa juhudi zake za kufanya mazoezi kwani mara kwa mara yeye huchapisha picha zake akiwa gym.

Massawe Japanni naye amekuwa katika safari ya kupunguza uzani na ili kuhakikisha kuwa ndoto yake imetimika, yeye hupiga tizi kila siku asubuhi kabla ya kuja kazini na pia wikendi ambapo huungana na marafiki zake.

Ifuatayo ni orodha na picha za ma celebs wengine ambao hupiga tizi kila siku bila kuhata.

Akothee

2. Massawe Japanni

3. Talia Oyando

4. Yvonne Okwara

5. Khaligraph Jones

6. Nadia Mukami

https://www.instagram.com/p/B8dl9IKFcou/

7. Ghost Mulee

https://www.instagram.com/p/B8uVxW9Fff6/

8. Gidi Gidi

https://www.instagram.com/p/B52q8BCAKsv/