Soma mengine hapa:
Vituo vya kupiga kura vilikuwa mlango wazi kuanzia saa kumi na mbili asubuhi na zinatarajiwa kufungwa saa kumi na moja jioni. Bodi ya kitaifa ya uchaguzi ya chama cha ODM imetoa taarifa kuwa kura zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na hatimaye zitatumwa katika katika kituo cha kuhesabu. Katika kituo hicho cha kuhesabu tangazo la mshindi litasubiriwa.
Soma mengine hapa:
Mgombeaji yeyote yule atakayekiuka kanuni za zoezi hili la uteuzi na kujihusisha katika kuvuruga na kutofuata sheria za uchaguzi atatemwa nje. Wagombeaji wanaombwa pia wasonge mbali na vituo vya kupiga kura baada ya kupiga kura.
Soma mengine hapa:
Atakayeongoza katika mchujo huu atamenyana na farasi wa Jubilee Macdonald Marigana Eliud Owalo wa ANC.