Mipango ya kando na mishahara: Wanajambo wafichua wanachoficha wapenzi wao

Je ni si siri gani kubwa ambayo umeweka katika mahusiano yako? Hilo ndilo lilikuwa swali kuu au mada katika kipindi cha Bustani la Massawe hapo jana.

Hii ni baada ya Massawe Japanni kugundua kuwa wanandoa wengi humu nchini wameficha mengi katika mahusiano yao, siri ambazo wengi wameapa kupeleka kaburini.

Baada ya kuuliza swali hili kupitia mtandao wa Radio Jambo wa Facebook, tulishangazwa na baadhi ya siri ambazo wanajambo wamefichia wapendwa wao.

Baadhi ya siri ambazo wengi walikiri kuficha ni; Mishahara, mipango ya kando na hata hasira kuu. Isitoshe, wengi walikataa kufichia wakidai kuwa siri zao zitasambaratisha ndoa zao.

Soma baadhi ya siri hizo;

Clen Cecilia Prynsillah:  kutotoa uchi wa matatizo zetu ya nyumba nje kwa watu

Jembez Evans: Mpango wa kando

Mukupi Philip: My side plan Yaani Mpango wakandoo🤣🤣🤣🤣🤣

Sifuna Adriano Mumanchester; Kuwa nko na hasira mbaya

Igz Lum; My salary

Denis Lumumba; Atm

Geoffrey Junior Shikami Torrera;  Wa kangemi bottomline tuko pamoja na Madam redemta baraza

Marius Kipchirchir Kili;  Nikisema haitakua siri tena! Acha ibaki story

Mpenda Amani Alex Mwenyewe: pamoja na Millie Mokeira. Hakuna siri ninayomgifija. Anajua kila kitu kunihusu nami naju. Tunahaminiana

Harrison Juma Mchelsea: Hiyo dadangu huwa hatusemi unless ka ntaka kufariki... Ktl tuko lockd

Hillary Chirchir: Siri ni Siri massawe,ntatoboa aje Siri yangu jameni?