Hii ni baada ya Massawe Japanni kugundua kuwa wanandoa wengi humu nchini wameficha mengi katika mahusiano yao, siri ambazo wengi wameapa kupeleka kaburini.
Baada ya kuuliza swali hili kupitia mtandao wa Radio Jambo wa Facebook, tulishangazwa na baadhi ya siri ambazo wanajambo wamefichia wapendwa wao.
Baadhi ya siri ambazo wengi walikiri kuficha ni; Mishahara, mipango ya kando na hata hasira kuu. Isitoshe, wengi walikataa kufichia wakidai kuwa siri zao zitasambaratisha ndoa zao.
Soma baadhi ya siri hizo;
Clen Cecilia Prynsillah: kutotoa uchi wa matatizo zetu ya nyumba nje kwa watu
Jembez Evans: Mpango wa kando
Mukupi Philip: My side plan Yaani Mpango wakandoo🤣🤣🤣🤣🤣
Sifuna Adriano Mumanchester; Kuwa nko na hasira mbaya
Igz Lum; My salary
Denis Lumumba; Atm
Geoffrey Junior Shikami Torrera; Wa kangemi bottomline tuko pamoja na Madam redemta baraza
Marius Kipchirchir Kili; Nikisema haitakua siri tena! Acha ibaki story
Mpenda Amani Alex Mwenyewe: pamoja na Millie Mokeira. Hakuna siri ninayomgifija. Anajua kila kitu kunihusu nami naju. Tunahaminiana
Harrison Juma Mchelsea: Hiyo dadangu huwa hatusemi unless ka ntaka kufariki... Ktl tuko lockd
Hillary Chirchir: Siri ni Siri massawe,ntatoboa aje Siri yangu jameni?