Mpelelezi mwingine kuwa mkuu wa huduma ya polisi

Hillary Mutyambai
Hillary Mutyambai
Rais Uhuru Kenyatta jana aliweza kumteuwa mpelelezi mwingine ili kuchukua nafasi ya IG Boinnet kama Inspekta mkuu wa polisi. Hillary Mutyambai atakua mkuu wa huduma ya polisi kama ataweza kukubaliwa na bunge.

Hii inaweka kupumzika uvumi nani atakaye fanikiwa kuchukua nafasi ya Boinnet, Mutymbai ni naibu wa mwelekezi katika kitengo cha kumpambana na ugaidi na uratibu wa kitaifa na huduma za akili.

Mutyambai huwa anajiunga na baadhi ya kundi la wapelelezi, ambalo limeteuliwa kuongoza taasisi muhimu wakati wa umiliki wa rais Uhuru.

Boinnet, DPP Noordin Haji, na mkurugenzi mkuu wa polisi EACC Twalib Mbarak wote walikuwa maafisa wa polisi wa akili.

Muhula na wakati wa miaka nne ya Boinnet ofisini iliweza kuisha Jumatatu.

Huduma ya polisi ya kitaifa iliuliza rais Uhuru ndani ya siku 14 baada ya nafasi kutokea katika ofisi ya inspekta mkuu aweze kumteuwa mtu kwa ajili ya nafasi hiyo, na kisha kupeana jina lake katika bunge.

Kama ilivyo ada ya mkurugenzi mkuu, Boinnet atakuwa katibu tawala wa wakuu katika wizara ya utalii na wanyamapori.

Pia rais aliweza kumteuwa Wycllife Ogalo kuchukua nafasi ya Isaiah Osugo kuwa mkuu wa jumla wa idara ya gereza, Osugo ambaye ni mpelelezi wa kazi aliweza kuwekwa katika idara hiyo mwaka wa 2008.

President Mwai Kibaki aliweza kumtoa katika idara ya DCI.

Jana pia rais alimteuwa Vincent Loonena kuwa mkurugenzi mkuu wa huduma ya ulinzi ya pwani ya Kenya, ni idara ambayo iliweza kuzinduliwa mwaka jana Novemba.

Huduma hiyo ni ya kulinda maeneo ya maji ya nchi dhidi ya ugaidi, dawa za kulevya, uvuvi haramu na miongoni mwa uhalifu mwingine.

John Wangui Waweru atakuwa mkurugenzi mkuu wa huduma ya wanyamapori wa kenya (Kenya Wildlife Service), alichukua nafasi ya prof Charles Musyoki.

Waziri wa utalii Najib Balala alimteuwa Musyoka mwaka jana Julai wakati vifaru 11 waliweza kufariki walipokuwa wakihamishwa kutoka Nairobi.

Pia walioteuliwa katika tume ya kitaifa ya huduma ya polisi na waliokubaliwa na bunge ni Eliud Kinuthia atakaye chukua nafasi ya Johnston Kavuludi kama mwenyekiti.

Wengine ni miongoni mwa Lilian Kiambaa, Eusebius Laibuta, Naphtali Rono, Alice Owala na John Moiyaki.