Mwanadada huyo kwa jina Asanda Teedow alionekana kutaka usaidizi wa watumizi wa twitter wamsaidie kujua ni njama ipi rafiki yake alikuwa nayo dhidi yake kwa sababu aliogopa kumuuliza kuhusu vitu hivyo vilivyoonekana kuhusiana na mambo ya ushirikina.Wengi walimtaka aombe kwa sababu huenda rafiki yake hakumtakia mazuri
Tazama ujumbe wake
https://twitter.com/AsandaTeedow/status/1233715828035608576
Asanda anasema alivipata vitu hivyo alipokuwa akichakura ndani ya kabati ya rafiki yake wakati alipokuwa bafuni .
‘The reality is, I'm not the only one going through this. Many of you are depressed because your souls are tied to a bottle. So I've decided to share what I've learnt during this experience with you on this video to help’.Ameandika Asanda
Baadaye alionekana kuwashauri wanamitandao kuwa waangalifu kwa sababu wengi wao huenda pia ni waathiriwa wa mambo ya ushirikina kama yeye na wanahitaji maombi .. Amesema hufai kufichua mengi kujihusu kwa rafiki zako na hata jamaa zao . Video yake mtandaoni akieleza masaibu hayo pia aliiweka mtandaoni .
https://twitter.com/AsandaTeedow/status/1234601900642836480