Patanisho: Bibi yangi huchukua simu zangu ninapomtumia mia tano

gidi na ghost
gidi na ghost
Katika kitengo chap Patanisho hivi leo, Gidi alipokea ujumbe kutoka bwana Geoffrey, aliomba asave ndio yake ya miaka kumi, baada ya mke wake kutoroka miezei mnne iliyopita.

Alieleza kwamba, ' ndio alitoka nyumbani. Kuna siku aliita mshichana cousin yake akuja akae na watoto wetu kabla wafungue shule. Sasa siku moja nikapata watot hawako wamepelekwa reserve. Kumuuliza akasema ndio wameenda reserve, nikamuuliza kwanini hakuniambia. Hapo ndipo tulikosana nikamwabia atoke aeendee watoto akaniambia atenda asubuhi. Asubuhi kuammka sikupata mtu. Akafuta nmba za familia yake yote kwa simu yangu, sasa kutoka siku hiyo hatujawahi onana.

Kutoka siku hiyo, je washawahi ongea?

Anachukuanga simu yangu wikendi tuu wakati anangoja pesa za kusaidia watoto. Lakini katikati ya wiki hachukuangi simu. Bado nampenda nataka turudiane.

Je anahakika hakuma mambo ingine tena alifanya ni hayo tuu ya watoto?

Geoffrey alisema, ; Kitambo alikuwa analalamika nilikuwa namtusi, na niliwacha. Nilimwomba msamaha.

Hakuwa na mpango wa kando?

Hapana. Sijawahi.

Geoofrrey miaka 34, na mke wake Wacera, 29 wako na watoto wawili.

Utamu wa patanisho ni kuskiza mpaka mwisho. Skiza kanda ujue kwanini Wacera hakuchukua simu ya Gidi na ikabidi Geoffrey achukue ushauri kutoka wanajambo.