Picha za familia ya John, simu ya kukutana na babake aliyefariki Mombasa CBD

Screenshot_from_2019_12_12_13_53_01__1576148024_53475
Screenshot_from_2019_12_12_13_53_01__1576148024_53475
Marehemu John Mutinda aliishi maisha mazuri kwa mujibu wa picha za familia yake na jumba aliloishi.

Kisa cha John kiliteka vichwa vya habari baada tya kutumbukia bahari Hindi.

Taarifa zinasimuliwa kuwa ndoa yake ilikuwa na matatizo chungu nzima.

Aidha, mkewe amenukuliwa kusema kuwa John alipigiwa simu na babake aliyefariki kitambo wakutane katikati mwa jiji la Mombasa.

Mkewe Ruth Mueni na mamake wanaonekana kuchukua mitazamo tofauti kuhusu kifo cha John Mutinda.

Ruth anasingizia nguvu za giza katika kuelezea sababu za kifo cha mumewe ilhali mamake John anasema kuwa mumewe alikuwa ananyanyaswa kiakili katika ndoa hiyo.

“Mwanangu alifariki kutokana na kuzongwa na fikra iliyosababishwa na mkwamba alikuwa ameingiwa na kichaa,” alisema mama huyo wakati wa mahojiano naatatizo yaliyokuwa katika ndoa yake. Ni vibaya mkewe kusema alikuwa punguani..." Mamake John aliifungukia Taifa Leo.

Ila je ni nani anasema ukweli?

Hii inaashiria kuwa ndoa nyingi zimevurugika na mahusianio mema kuota mbawa.

Kisa kama hiki sio kizuri kwani kinaweza kikasababisha wanandoa kuuana.