Matamasha anayoyafanya ni makubwa sawa na bosi wake Diamond Platnumz. Dogo ana mpenzi wa haiba ya juu sana Sarah. Ana walinzi sawa na idadi ya Diamond. Kumewahi kutokea vyombo vya habari nchini Tanzania zinazowalinganisha wawili hawa.
Soma hadithi hii:
Ila je, unaamini kuwa alichokifanya ni kitu kibaya. Mwana anapokua anatakiwa kujitenga mbali na babake mzazi na kuanzisha familia. Ndo maana staa huyu akaanzisha familia ya Konde Gang.
Soma hadithi hii:
Hii ni dalili tosha kuwa wasanii waliopo WCB siku moja watakuja kuwa wakubwa wote kama Diamond Platnumz na watataka kuwa huru kuanzisha lebo zao nje ya Wasafi. Kwa mfano, Lavalava ameanzisha Bite Gang, taarifa pia zipo Rayvanny anamiliki studio yake na ana wasanii dogo zake anaowapa mafunzo ya kuchana.
Soma hadithi hii:
Diamond ni mkubwa kweli. Anamiliki biashara kubwa kama runinga ya Wasafi, redio na nyinginezo. Ni msanii mkubwa Afrika na duniani. Ila achague afanye kitu kimoja. Hakuna mtu aliyewahi kufaulu katika mambo mengi. Una kauli gani kwake Diamond?