Polisi wanachunguza kisa ambapo mwanawe aliyekuwa meya wa anairobi Dick Wathika alijiua katika nyumba yao katik eneo la Windsor.
Marehemu aliyetambuliwa kama Kanyiri Wathika alipatikana ameaga dunia katika chumba chake baada ya kudaiwa kujitia kitanzi .mwili huo umepelekwa katika hifadhi ya maiti . Wathika aliaga dunia mwaka wa 2015 baada ya kuugua kwa muda mfupi .
Alikuwa pia mbunge wa zamani wa eneo bunge la Makadara .