Sema ukweli: Weka wazi uhalali wa vyeti vyako vya chuo kikuu

Kundi moja la wanaharakati katika kaunti ya Taita Taveta sasa linamtaka gavana wa kaunti hiyo Granton Samboja kuweka wazi uhalali wa vyeti vyake vya chuo kikuu ili kusuluhisha mvutano ambao umekuwepo.

Msemaji wa kundi hilo la Taita Taveta Shadow Government Mohammed Washalla alisema kesi kuhusu vyeti alivyotumia Samboja kuwania ugavana inayoendelea kortini imeathiri pakubwa utendakazi wake na hivyo Kuna haja ya kujitokeza wazi kuelezea uhalali wa vyeti vyake.
Wabunge wa jubilee katika kaunti ya Kakamega Benard Shinali na Emmanuel Wangwe wameashiria ushirikiano huo.
"Aliniambia nikukaribishe kirasmi na akaniambia ako pamoja na wewe na muweze kukutana ili mpange jinsi kura ya kakamega itaenda kwako mwaka wa uchaguzi 2022,

"Viongozi wa Kakamega tumeweza kukutana na kujadiliana kuwa kura yetu tutapeleka mahali pamoja chini ya uongozi wa gavana Oparanya,"Walisema wabunge wa Kakamega.

"Natujue tunaenda wapi  na tunatika wapi kama nimeweza kuongea na rais,Raila na ninataka kukuhakikishia kura kakamega uko nazo tuko karibu kabisa,"Aliongea Oparanya.
Ni usemi ambao gavana Oparanya amesikika akiupigia upato.
lOVE: Mwanafunzi kuuwawa kwa kukataa uhusiano wa kimapenzi:
Kaiboi Technical Institute ilifungwa jana baada ya msichana wa mwaka wa kwanza katika shule hiyo kudungwa na kisu kifuani na shingoni na mwanaume ambaye alikuwa amemuuliza uhusiano wa kimapenzi na kukataa katika shule hiyo.

Msichana huyo, 21, alidungwa mara kadhaa alipokuwa amepiga foleni ili kuchukua kiamsha kinywa.

OCPD wa Nandi Ezekiel Kiche alisema kuwa mwanaume huyo wa mwaka wa pili aliweza kuchapwa na wanafunzi wenzake baada ya kumuuwa mwanamke huyo na sasa yuko katika hali mahututi katika hospitali ya Eldoret.
Kiche alisema kuwa uchunguzi unaonyesha marehemu huyo alikuwa amekataa uhusiano wa kimapenzi na mwanaume huyo.
"Aliweza kudungwa na kisu ya jikoni katika kifua na shingo mara kadhaa," Aliongea mkubwa wa polisi.
Mwalimu mkuu Charles Koech alisema kuwa watafunga shule kwa siku chache ilikuwatuliza wanafunzi ambao walikuwa wanajaribu kufunga barabara ya Kaiboi-Mosoriot.
Waliweza kutolewa shuleni na polisi mara hiyo kisa hicho kilipotendeka.