Safari ya mahaba ya Massawe: Massawe Japanni na mumewe washerehekea miaka13 katika ndoa

Mtangazaji Massawe Japanni anafahamika sana kwa weledi wake wa lugha ya kiswahili. Massawe na mumewe Tom Japanni wanasherehekea miaka kumi na tatu katika ndoa yao.

Wawili hao wamekuwa katika uanahabari kwa zaidi ya miaka kumi.

Massawe na Japanni wamebarikiwa na watoto watatu wa kike. Haya basi wakisherehekea siku hii kila mmoja wao amedhihirisha mapenzi yake kwa mwenzake na ni wazi kuwa mapenzi kati ya hao wawili yamenoga.

Ndoa yao kwa hakika ni ya kupigiwa mfano na wengi.

"HAPPY ANNIVERSARY!! IT HAS TAKEN NOT ONLY LOVE, BUT PAIN AND GRIT, LAUGHTER AND TEARS AS WELL AS THE HELP OF GOD TO GET US TO THIS POINT. MAY THE GRACE OF GOD FOR A BLESSED FAMILY CONTINUE TO SHINE ON OUR MARRIAGE. AND MAY WISDOM BE OUR CONSTANT COMPANION! HAPPY 13TH ANNIVERSARY

#17TOGETHER #MPAKAMILELE♥️." Massawe Aliandika.

Tom naye hakuachwa nyuma bali alimnunulia mkewe pete ambayo Massawe aliposti na kuandika ujumbe mfupi;

"WHEN HE KNOWS WHAT TO GET YOU…I’M HERE BLUSHING😊😊😊 AND ITS FASCINATING HIM….MORE ROCKS TO THE YEARS LIVED…A JOURNEY IT HAS BEEN…😘😘@TJAPANNI #MPAKAMILELE♥️."

Mashabiki wake hawakuachwa nyuma walituma jumbe za kuwatakia kila la heri katika ndoa yao wanaposherehekea siku hii ya maana.

chriskirwa 🙌🙌🙌🙌😀😀😀😀 Our people happy Anniversary 🔥🔥🔥

annengugi Happy Aniversary Queen and King

jackyvike Happy Anniversary Beautiful!!

wilson_malaba Happy anniversary good people

kaundaabigail9 Congratulations 13 yrs si kdgo hyo ni yenu🍰🍷

evelynwanjiru_a Happy anniversary my sister…

billymiya Following footsteps every step of the way! Kongole jamani boss lady!

kendi_gichuru Happy anniversary Massawe❤❤

beldingambani Happy for you mungu awalinde

nimmomilka Wow to many more years

MHARIRI: DAVIS OJIAMBO