Jemimah Oresha alikuwa amewatemebela jamaa zake alipomtaka kakake kumpeleka katika eneo hilo maarufu .
Kakake alikubali na jumapili wawili hao walianza safari ya kwenda thoson falls amako Jemimh aliona jiwe ambalo aliamua alitaka appigwe picha akiwa amesimama juu ya jiwe hiolo katikati ya mto .
Akipiga pozi ili picha zichukuliwe aliteleeza kwa bahati mbaya na kuanguka mtoni huku kakake akiangalia bila kuweza kumuokoa dadake .
Kulingana na Mangafu dadake alifaa kusafiri kwenda nyumbani kwao Kitale siku ya jumatatu lakini hilo halitafanyika kwani hadi sasa mwili wake haujapatikana .
Nyahururu Falls ni maporomo ya maji yeye urefu wa (243 ft) katika mto Ewaso Ng’iro katikati mwa Kenya na kilomita kadhaa kutoka ziwa Ol Bolossat