Toboa Siri: Nilikuwa napepeta mke wa rafiki ya babangu

mbusii sheng
mbusii sheng
Jamaa kwa jina kingman alijitolea kutoboa siri ambayo imekuwa ikimsumbua kwa miaka kadhaa sasa.

Huku akiwa hadithia watangazaji Mbusii na Lion katika kitengo cha toboa siri jamaa huyo alifichua kuwa alikuwa na uhusiano na mke wa rafiki ya babake.

Alidai kuwa mke wa rafiki ya babake alikuwa na mtindo wa kuwatembelea nyumbani na wawili hao wakatengeneza urafiki ambao ulizaa matunda ya uhusiano wa siri ambao hamna yeyote aliyejua.

Uhusiano huo ulipepetwa na kuwa babake Kingman na mume wa mpenziwe walikuwa wakisafiri mara kwa mara na wawili hao kubakia upweke kwa zaidi ya wiki nne.

Nilimaliza form four last year na nilikuwa na kaa na mzae wa mine sides za Thika. Budangu alikuwa anaenda na ma lorry na sasa kuna msee alikuwa anaenda naye job." Alisimulia Kingman.

So wife ya beste yake alikuwa anakam kejani time buda yuko wanaongea, sasa time mob buda alikuwa anaenda kwa wiki tatu au nne ivi so huyo wife alikuwa anakam keja tuna tulia tulia.

Sasa siku mob akanishow huwa amenitambua na alikuwa ameiva juu bado alikuwa myoung. Sasa nilijipata nimepita na yeye mara ka nne nikiwa chuo bado." Aliongeza akidai kuwa wawili hao bado huzungumza ispokuwa ni vile yeye anaishi mbali sahii.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be