Huyu ni mtoto wa kwanza wa mtangazaji huyu wa redio.
Mama huyu amechapisha katika mtandao wa kijamii furaha aliyo nayo.
Aidha, amesimulia anavyojihisi kuwa mama.
Soma hadithi nyingine:
Mastaa wakubwa Tanzania wakiwemo Rayvanny, Mbosso na Lavalava miongoni mwa wengine walitoa maneno yao ya moyoni na kumpongeza Chibu Dangote.
Mtoto huyu ambaye ni wa 4 wa Naseeb bado hajapewa jina.
Ikumbukwe kuwa Mondi ana watoto nje ya uhusiano na Tanasha.
https://www.instagram.com/p/B3H4OrqAADo/
"Masaa kumi na saba baada ya wiki 42, kujifungua kwa kawaida...ina msaada kwangu sana. Mimi sasa na mpenzi wangu ni mama wa kijana mtanashati mwenye afya. Asante Mungu 🙏🏽..."
Soma hadithi nyingine:
Aidha, Tanasha alimwandia ujumbe mzito mwanawe,
"Happy birthday to my son. God is good. ❤️🙏🏽"