Utakomaa! Kifesi attacks Diamond Platnumz in cryptic message

Diamond Platnumz' ex-photographer Kifesi is known for firing shots that can send one to hospital.

Kifesi, who called it quits after working for the singer's family and Wasafi record label a few months ago to work on other projects, has attacked the Utanipenda hitmaker in a cryptic message.

Kifesi is never afraid of speaking out his mind out and he fired shots at Diamond Platnumz indirectly, claiming that men with daughters as firstborns cheat a lot.

"This actually might be facts. Doesn't happen kwa wote but most it happens. The lesson for his behavior and cheating is his daughter getting done wrong with guys later in life. Men should learn to stop doing to others female what they won't want ni**to s do to their daughters!" he wrote in part.

The photographer went ahead to school men who cheat to tread carefully because whatever goes around comes around, and this might affect their lineage.

"NB: Bible says.. : Mimi BWANA, Mungu wako ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizaki cha tatu na cha nne cha wanichukiao." Mstari huu hauzungumzii hasa adhabu, bali matokeo. Unasema kwamba matokeo ya dhambi za mwanadamu yanaweza kuhisika kwenye kizaz chake baadaye. Mungu alikuwa akiwambia Israeli kuwa watoto wao watahisi athari za kizazi cha wazazi wao kama matokeo ya asili ya uasi wao na chuki kwa Mungu. Mungu hatufanyi kuwajibika kwa ajili ya dhambi za wazazi wetu, lakini sisi wakati mwingine huteseka kama matokeo ya dhambi za wazazi wetu, kama Kutoka 20:5 inavyoeleza.

So tunapswa tuwe makini kwa matendo yetu or. Tabia zetu ovu cuz effects yake itakuja endelea had kwa watoto wetu hapo baadae either watarithi the same or matokeo ya matendo yetu maovu yataathiri na watoto wetu baadae."

In his previous post while revealing why he deceided to call it a day at the WCB family, he wrote:

Leo ikiwa ni siku takatifu na siku ya ibada kwangu ni siku niloamua kufanya maamzi yatayo badili maisha yangu. Nimeamua rasmi kuacha kazi kama mpiga picha wa Diamond Platnumz na mwajiriwa wa WCB. Well, it’s insane to be leaving a stable job you love but that’s reality for me naacha kazi kwa mtu alokua zaidi ya rafiki kwangu. Naacha kazi ambayo ni ndoto ya vijana wengi out there but to me..I see miaka yangu 4/5 ya kufanya kazi hapa inatosha niachie nafasi kwa vijana wengine nimeamua kufata moyo wangu. 

Ni uamzi nilokua nao karibu mwaka sasa but kama ilivo kwa waajiriwa wengi is so hard kufanya maamzi ya kuacha kazi but IN ORDER TO GROW WE NEED TO MAKE CHANGE.. Naacha kazi to peruse my dreams life ikiwamo kujiajiri mwenyewe. Naacha kazi ili nipate muda mwingi wa kuwa flexible nitumie muda wangu mwingi ku-unleash my potential for excellence.  reason ya mwisho na kubwa zaidi kwangu.. Naacha hii kazi ili niwe karibu zaid na Mungu wangu kwa iman yngu kama. Mkristo nilkua nafnya kaz Katika lifestyle na mazingira ya kazi yasompendeza Mungu . . ni swala ambalo limenikosesha aman kwa miaka yote but at the end we need to choose GOD over everything.. Cfa. Umaarufu na fahari yote ya Dunia vitanifaidia nn endapo nitaukosa ufalme wa Mungu…?? Nimeamaua ku drop kila kitu I just want to have peace of mind .. do my works .. live my life and have time with God.

Ukimchagua Mungu hata hiv vingine atakuongezea najua kutakua na changamoto nyingi.. ups and downs but Mungu He knew me before I was born aliahidi ukimchagua yeye he will open the doors atatufanya kuwa kichwa na sio mkia.. Mwisho nashukuru familia yote ya WCB  kwa kua nami for all these years. It was great working with you.. but zaidi nimshukuru Diamond Platnumz kwa muda wote nilofanya naye kazi since chini mpaka sasa.. Nimefanya kazi kwa mapenzi.. bidii na uaminifu mkubwa. Kwangu haukua boss bali rafiki na nilkua rafik wa kweli kwako, a will always appreciate mchango wako kwangu.. Tusameheane pale tulipowai koseana we are just humans ..hatutakua pamoja kikazi but  nina imani tutaendelea kuwa marafiki. God bless you.. Uzidi kufika unapopenda kufika.. GOD bless me.. God bless my next hustles."