Wacheni aitwe Mungu! : Daddy Owen reveals terrifying details of how he lost his eye

Gospel artist Owen Mwatia popularly known as Daddy Owen, revealed shocking details on how he lost one of his eyes a while back before he gave his life to Christ.

Speaking to Massawe Japanni on Radio Jambo, the 'Vanity' hit maker lost one of his eyes after he was stabbed by an angry mob while robbing commuters in Nairobi.

According to the award winning singer, he was in a gang which terrorized Nairobi residents back in the day and he was in going by his 'business' when his proverbial 40 days had finally reached.

The gang were set to rob commuters but his gang members ditched their plan upon realizing the a police officer had boarded the same matatu, leaving an unsuspecting Daddy Owen who was anxious to execute the plan.

The commuters turned on him beating him up mercilessly, stabbing one of his eyes in the process.

Read his narration below.

Kitu mbaya ilifanyika ni eti niliingia kwa genge haramu kazi yetu ilikuwa kuiba na kupora wetu. I don't like this story but ni kitu ya ku inspire wengine, na nili ifanya for like three years na watu wengi tulikuwa nao waliaga. 

Kuna wenye walishikwa kuna wenye walipigwa risasi na kuna wenye walichomwa. Hizi zote zilikuwa zinafanyikia marafiki wangu na sikuwa naona kama ni kitu kubwa lakini nilivyoshikwa ndio nilijua.

Yangu ilikuwa ni kitu ndogo sana tulikuwa tumepanga vile tutaiba kwa matatu so tulikuwa kamawatu watano ivi, kumbe ma boys tulikuwa nao walikuwa wame change plan. Mimi nilikuwa nishachukua kiti ya nyuma so those days hakukuwa na simu ya mkono na mpango ilikuwa venye mmepanga ndio mta stick nayo.

So eventually hapo katikati kumbe jamaa waligundua kwa hiyo gari kuna polisi na wakatoka hawakuniambia. Venye mimi nilianza mpango nikajipata niko pekee yangu, raiya wakanishika, wakanipiga, wakanitoboa jicho.

Eventually, ilikuwa kitu ngumu sana unajua at that time kwako unaona sio kitu kubwa hadi time nilikuwa hospitali na hakuna mtu alikuja, hao mabeste wangu wenye nilikuwa na fight so hard wanikubali. Venye hawakukuja hapo ndio nilijua maisha yangu nafaa kubadilisha.