Babu alisema kuwa wanaopanga kumuacha kuwa wanachimba karuri lao la kisiasa endapo watatka kwenye chama hicho.
"Viongozi wa mkoa wa pwani ambao wanatishia kumuacha kinara Raila Odinga wanachimba kaburi lao la siasa, ambaye huwa ana lala na baba yake ni mama yako."Aliandika Babu.
https://twitter.com/HEBabuOwino/status/1289090660214157313
Useminwake unajiri baada ya baadhi ya viongozi wa pwani kudai kuwa kinara na aliyekuwa waziri mkuu Raila kusema kuwa amewaacha baada ya kunga mkono ugavi wa pesa katika kaunti.
Ni mjadala uliofutiliwa mbali na wengi wa maseneta huku wakihairisha kikao chao kuhusu swala hilo.
Ugavi huo unaonekana baadhi ya kaunti zitapata pesa nyingi huku nyingi zikikosa kupata pesa hizo au kama ilivyo kuwa awali.
Hizi hapa baadhi ya hisia za wanamitandao baada ya Babu kuandiika ujumbe huyo;
done for the coast region? 2. The choice of your words are just insults and abuse. This kind of language is not expected from a lawmaker. 3. ODM has sided with the unjust, exploitative and unfair group that have openly ......