'Babu Owino hatawahi jua wala kupata amani,'Wakenya wasema huku wakimuunga mkono DJ Evolve

Wakenya wengi kwenye mitandao ya kijamii wametaka haki kutendeka kwa ajili ya DJ Evolve baada ya kupigwa risasi januari mwaka huu na mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino.

Hii ni baada runinga ya NTV kufanya mahojiano naye bado akiwa kitandani miezi sita baada ya tukio hilo.

Anategemea watu kumfanyia kazi zote kwa maana hawezi songesha miguu yake vidole tu ndio zinasonga kidogo, Wakenya wengi hawajalaza damu tangu mahojiano hayo kasambaa kwenye mitandao ya kijamii wanataka haki kutendeka kwa Evolve.

Wengi wamemkashifu mbunge Babu huku wakisema kuwa hatawahi kuwa na amani maishani mwake kwa kitendo hicho.

Mama yake pia akiwa kwenye mahojiano alisema kuwa aliacha kazi ili kumlinda mwanawe, hizi hapa baadhi ya hisia za wakenya wengi kwenye mitandao ya kijamii;

@KE_Fridah: how does babu sleep knowing that he has fully wasted someone’s life just like that? how? just how?? Ain’t he human?
@LaaliMarie: Can’t hold my tears.. DJ Evolve can’t do anything for himself,,,And Babu Owino is still walking freely..Who will arise to give Justices to common Mwananchi? Babu Owino, tears of a Mom is a curse…Justice delayed is Justice denied.
@ItsMugambi: May Babu Owino never, ever know peace, or joy, or any level of human satisfaction until he does right by Evolve. If the judicial system fails Evolve, may we all be reminded that justice can exist outside of the law.

@BlessedNjugush: How does this Babu sleep at night? Must be on something very heavy aki

@devious2gits: @BlessedNjugush
So sad …you wonder how does babu’s wife look at him knowing he almost ended someone life..she should be living in fear…can you’ll imagine the pain dj evolve’s mom is going through ..that interview was so sad …may God give that family strength…..
@CharlesOkuna: Thanking God DJ Evolve is alive. Justice shall be served in heaven,this world isn’t our permanent home. Anything can happen. Dunia Rangi Rangile. Imagine of becoming blind,limbs amputed,who will be there to serve you justice? We live by God’s grace.
@QueenGathoni: A man who was making an honest living is now bedridden, cannot speak and the man who did this to him, Babu Owino, roams free, makes YouTube videos, mocks us reminding us that he is still in power and he’ll even try to become president! We need justice!!!