Muhtasari
• Mwanamitindo na mwanabiashara, Huddah Monroe ameshtumu wachuuzi kwa kile anachokidai kama kuwauzia watu maarufu bidhaa kwa bei iliyozidishwa.
• Kulingana na ujumbe aliochapisha katika ukurasa wake wa Instagram, Huddah amekiri kwamba ukiwa mtu maarufu na ununue bidhaa yoyote, muuzaji anahakikisha umelipa mara tatu zaidi ya bei anayolipa mtu wa kawaida.