Wizara ya elimu imeahirisha kufunguliwa kwa shule zote kwa muhuma wa tatu kwa wiki moja .
Arifa iliyotumwa na wizara ya elimu kwa wadau wote wa sekta hiyo imeonyesha kwamba shule sasa zitafunguliwa tarehe mbili septmba na kufungwa Oktoba tarehe 25 mwaka huu .
kulingana na wizara hiyo hatua hiyo imechukuliwa ili kufanikisha zoezi la sensa kwani tarehe za zoezi hilo za 24 hadi 25 agosti zilikuwa zikikinzana na tarehe ya kufunguliwa kwa shule .