Zaidi ya hayo, asilimia kubwa ya wanawake walisema kuwa wako radhi wafe kuliko kutumia pesa nyingi sana kwa mwanaume.
Mwanamke mmoja alifunguka kwenye mtandao wa kijamii na kusimulia hadithi yake na jamaa mmoja aliyekuwa mpenzi wake.
Binti huyu alisema kuwa alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mmoja ambaye alimpa shillingi 100 baada ya kulala kwake usiku mzima.
Rachael alisema,
''Nilikuwa na mchumba na siku ya kwanza baada ya kulala kwake, nlimuomba bwana huyu hela kwani sikuwa na kazi.
Amini usiamini, jamaa huyu alinipa shilingi 100. Nilikasirika sana kwani niliona ni kama bwana huyu ananaidharau sana na nkamwambia awache pesa hizo juu ya meza na alipo enda kazini, sikumtafuta tena. Hiyo siku ilikuwa siku ya mwisho kuona huyo mwanaume.''
Zaidi ya hayo, Rachael alisema kuwa, iwapo jamaa huyu angemuoa, basi angekuwa maskini maisha yake yote na hivyo basi, anashukuru kuwa hakuendelea na uhusiano huo.
Je ni shilingi ngapi ambazo mpenzi wako amewahi kupa?