Muhtasari
- Raila asheherekea baada ya seneti na bunge kupitisha muswada wa BBI
Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga anafyraha baada ya bunge la seneti kupitisha Initiative Bridges Initiative (BBI).
Seneti na bunge la kitaifa walipiga kura na kupitisha muswada wa BBI.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter kigogo huyo alisema kwamba mpira unapaswa kusonga mbele huku akiwashukuru maseneta.
Maseneta 51 walipiga kura na kupitisha muswada huo huku 11 wakipiga kura ya la.
"Hapo sasa!Vizuri sana kwa @Senate_KE and @NAssemblyKE kwa kupitisha muswada wa BBI
#Ball Mbele!," Aliandika Raila.
Hapo sasa!
— Raila Odinga (@RailaOdinga) May 11, 2021
WELL IN members of both the @Senate_KE and @NAssemblyKE for voting overwhelmingly in favour of the #BBIbill. 👊👍#Ball Mbele!