Muhtasari
• Si kawaida kuona wachezaji wa timu moja wakipigana uwanjani lakini visa kama hivyo pia si vigeni kushuhudiwa uwanjani.
• Wachzaji watoro kama vile Mario Balotelli na Zlatan Ibrahimovic si wageni kwa vitendo hivi vya kuwashambulia wenzao uwanjani.