- Leo wagonjwa 98 wamepona ugonjwa huo na kufikisha 77,521 watu waliopona ugonjwa huo .
- Hata hivyo watu sita wameaga dunia kwa ajili ya corona na kufikisha 1,664 idadi ya watu walioangamizwa na Corona .
Watu 69 wamepatikana na Corona baada ya sampuli 1,987 kupimwa katika saa 24 zilizopita na kufikisha 95,992 jumla ya idadi ya visa vya ugonjwa huo nchini huku jumla ya sampuli zilizopimwa zikifika 1,035,309 .kutoka visa hivyo 53 ni wakenya ilhali 16 ni raia wa kigeni .40 ni wanaume ilhali wanawake ni 29.Mgonjwa wa umri wa chini ni mtoto wa miaka mitatu ilhali wa umri wa juu ana miaka 86 .
Leo wagonjwa 98 wamepona ugonjwa huo na kufikisha 77,521 watu waliopona ugonjwa huo .
Hata hivyo watu sita wameaga dunia kwa ajili ya corona na kufikisha 1,664 idadi ya watu walioangamizwa na Corona .
Kwa sasa kuna wagonjwa 673 waliolazwa katika hospitali mbali mbali kote nchini huku wengine 3,386 wakiwa chini ya mpango wa utunzi wa nyumbani . wagonjwa 34 wapo katika kitengo cha ICU ilhali 7 wapo HDU .