Muhtasari
• June ambaye ni afisa mkuu wa ubalozi wa Kenya nchini Poland, siku ya Jumamosi alifanyiwa hafla ya posa kuambatana na mila za Jamii ya Kalenjin ijulikanayo kama ‘Koito’.
• June alimtambulisha mchumba wake Hamad Bin Khalifa aliyeandamana na familia yake katika hafla ya kufana na ambayo pia ilihudhuriwa na wandani wa naibu rais.