Katika mahojiano aya hapo awali nyota huyoalifichua jinsi ilivyuokuwa vigumu kwake kumkabali mwanamme katika maisha yake
Avril amesema kifo cha babake kilimfanya asimuamini yeyote katika maisha yake lakini baadaye akakubali kumruhusu baba ya mtoto wake katika maisha yake
Alisema kwamba alifanya kilaawezalo kuwafungia nje waliotaka kuwa katika uhusiano wa kimapenzi naye
“ Nilihoji nia ya kila mtu aliyekuja katika maisha yangu akidai kwamba ananipenda.Niliwafungia watu wengi nje ya moyo wangu’’
Aliongeza kwamba alijipata akitaka kusalia pekee yake bila kutaka kutangamana na mtu yeyote .
“ kwa kiasia ,hali hiyo ilinisaidia ni jambo la kiajabu lakini kwa hatua Fulani niliweza kurejea katika fani ya usanii tena .Nilianza kujizatiti zaidi katika kazi zangu’’
“ Nilitaka mtu tofauti ambaye hakuwa katika fani hii.so nliamua kuanza uhusianona mtu mmoja..Nina mtu kwa sasa katika maisha yangua ambaye tumepata mtoto mvulana naye ,lakini bado nina maswali mengi’’ ameongeza msanii huyo
Kwa sababu ya maumbile yake ya kuuliza maswali Avrilanasema hali hiyoimesababisha hali ya kuwepo ugomvi wa kila mara na baby daddy wake .
“ Najipata nilihoji hata mapenzi yake ,utunzi wake mjinsi mtu anavyoweza kukupenda tu bilamasharti.ni vipi mapenzi yasio na masharti hufanywa?
Avril amedaiwa kwa muda mrefu sasa kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na muelekezi wa video J Blessing .wawili hao inadaiwa wapo katika penzi zito
Baada ya miezi kadhaa ya kuficha uhusiano wao ,Avril hatimaye alijitokeza kutangaza mapenzi ayake kwa J Blessing wakati alipokuwa akisherehekea birthday yake kwa kuandika ;
“Happy Birthday . Thanking God for you ,”
Avril kisha aliposti msururu wa picha zake na J blessing katika ukurasa wake wa instagram. Picha hizo ziliambatana na jumbe tam tam za mahaba