ni hawa wafuatao
Barack Obama na Michelle Obama
wamekuwa wakiwavutia wengu duniai . kura ya maoni hivi maajuzi imegundua kwamba MichelleObama ana asilimia 67 ya watu wenye maoni mazuri kumhusu ,hatua inayomfanya kuwa maarufu zaidi kumliko mumewe.
Melinda Gates na Bill Gates
Bill Gates ndiye mtu tajiri sana nchini Mareekani akiwa na mali yenye thamani ya jumla ya dola bilioni $67 (Ksh6,790,952,500,000).
pia ni wanakarimu sana baada ya kupeana dola bilioni $3.4 (Ksh 344,615,500,000) kwa uhisani
Jay-Z na Beyonce
wapenzi haoa wa kwanza katika muziki ni washirika wa karibu wa Familia ya Obama nchini marekani .
Queen B na mume wake Jay Z wana mali ya pamoja ya jumla ya bilioni $1 kutoka kampuni zao za mavazi
Jay Z hivi maajuzi ametangazwa kuwa rapa wa kwanza kuwa bilionea .
Hillary Clinton na Bill Clinton
Wamekuwa katika utumishi wa umma kwa miaka mingi lakini wameendelea kusalia kileleni .
David Beckham na Victoria Beckham
kwa pamoja wawili hawa wameacha athari kubwa katika ulimwengu wa mitindo na haijastajaabisha kwamba wanao pia wanafuata nyayo za wazazi wao.