PATANISHO: Bibi yangu alinifumania na mpango wa kando

Bwana Samuel alituma ujumbe akisema kuwa mkewe bi Milkah, alimfumania akiwa na mpango wa kando na akaondoka.
"Alienda mwezi wa nane na nikajaribu kuongea na wazazi nikaomba msamaha na akarudi, lakini uaminifu au amani kwa nyumba haijarudi kwa sababu ya nilichotenda." Alisema akiongeza, Naona kila wakati hatuelewani nikiongea kitu inakuwa ngumu kuniskiza."

Mimi nilifika mahali ujanja wangu ukajulikana na sikuwa na lingine ila kukubali hata kwa wazazi na kwake na akarudi lakini kurudi kwake bado haniamini nimebadilika.

Sometimes tunazungumza vizuri lakini inafika mahali anasema bado anakumbuka nililofanya. mke wangu sijui ni nini lakini kila wakati najaribu kuwa na mpango wa kando huwa simalizi wiki moja.

Hii ya mwisho nilikuwa naongea na delete message lakini nikama alikuwa ame record hata sahii nikama ana record. Sasa siku moja akaniwekea volume kumbe ame record kila kitu.

Samuel ana umri wa miaka 28 na mkewe ana mika 23 na wawili hao wamekuwa kwa ndoa ya miaka mitano.

Ni mhanyaji wa siri na bado anapatikana, nampata tu hata kama yeye ni muongo hakuna siku nitakosa kumpata hata awe wa wapi." Alisema bi Milkah.

Unamuuliza tu maswali kumbe napeleleza.

Mume wangu huhubiri kanisani na siku moja akasema naomba mke wangu na Metrine waje hapa mbele waimbe wimbo wa sadaka kumbe alikuwa anatuita atulinganishe." Aliongeza Milkah.

Pata uhondo kamili.