Patanisho: Bwanangu alinifungia mlango akaniambia niende niolewe kwingine

ghostmuleeandgidi
ghostmuleeandgidi

Ikiwa mume hataki bibi, je mke anaweza kujilazimisha kwake? Hili ndilo changamoto Bi Susan anapitia, huku akiomba Patanisho kupitia RadioJambo Ijumaa.

Gidi huwa anapenda wakati wanawake wanaomba msamaha katika kitengo cha Patanisho, kwani wa Kenya wengi hudai kuwa wanawake hawapendi kuomba msamaha.

Na hivi leo desturi ilikuwa hiyo, kwa maana Bi Susan alikosana na mzee wake Johnson last week.

Kisa na maana?

'Alikuwa na uhusiano na mtoto wa shule, 13 years.

Aligundua aje?

Nilifanya kuambiwa na nikachunguza mimi mwenyewe. 

Aliambiwa na nani na aliweza kufuatilia?

'watu tuu wa plot, niliwapata huko nje walikuwa wamewekeleana mikono kwa mabega. 

Kisha akachukuwa hatia gani?

Nilimuuliza akanichapa nikafanya tuu kutoka kwake juu niliambiwa na wazazi nihepe kwanza akituliza atanirudia. Vile nilitoka hakunipigia simu tena alalfu jana nikajitoa kwa pale nilikuwa naishi nikajileta huko vilealiniona akakfunga nyumba na kuingia huko ndani Akanitumia message akaniambia niende niolewe 

Kwa hivyo anataka kusaidiwa nama gani?

Nataka tuu turidiane naye. Mimi sitaki kuwacha boma yangu.

Je wamekaa kwa ndoa muda gani?

Mwaka na miezi mbili, na tuna mtoto mmoja, alijibu Bi Susan.

Tangu hiyo siku, washa wahi ongea?

Nampigianga simu na hachukuangi. 

Lakini inaonekana kama hii patanisho ilileta shida kidogo kwasababu bwanake alizima simu kabisa.

Ndoa ni kitu ambacho watu waelewe, na hawa vijana vidogo wanaingi kwa uhusiano na hawajajipanga, pia wazazi hawajui. Je ni chnagamotozipi zinazokumba ndoa?

Hawa vijana ni mwongozo wamekosa na ni nani wa kulaumiwa? Gidi na ghost walichangia hili swala. Skiza kanda:

'