Tanzia; Picha za marehemu Tony Onyango aliyekuwa mchezaji wa 7s

Kilio na wingu la simanzi limetanda katika familia ya mpira wa raga humu nchini baada ya kupokea habari za kifo cha mchezaji shupavu Tony Onyango.

Tony alichezea timu ya Simba kwa muda wa miaka sita, mchezaji huyo alizirai nyumbani kwake na kuaga dunia.

Baada ya kuchezea Simba alichezea timu za Impala, Strathmore, Homeboyz na kabla ya kifo chake alikuwa anachezea timu ya KCB. Kulingana na habari mchezaji huyo alizirai na kfariki papo hapo.

Ameacha mjane na mtoto mmoja, rafikiye Jimmy Munene aliandika ujumbe wa rambirambi akisema.

"What is this pattern that is becoming the first week of March😭. Tony Onyango Baba Shane rest well brother, I thank God for gifting us with your presence. My Condolences to your young family, Maria and Shane.

Our journey goes back to primary school, can’t remember whether was a class or 2 ahead of you. Then reunited with rugby after high school. One thing that stood out from our last conversation was your changing view of how to support the game and Simba’s by extension. During the trials last year you passed at the chance of joining the team as you were categorical that you needed to manage your load and rest, noting that you were stretched in 2018 into 2019. A very noble and honest opinion not what you hear from your modern day player. Leaving the conversation with I will be back to support the journey to France whether as a player or otherwise.

Then you’d show up once in a while to support the young KCB cubs Kimwele & Co at training stating indeed they were the today & tomorrow (you believed in them), we’d chat about sports marketing, player branding, growth of players on and off the pitch, raising the brands of our players something you hoped for the next generation. We talked about Decathlon where you worked then and how you could support the Simba’s. Progressive talk.

Shine on your way brother, now our guardian angel. Connect the energies for us, link the systems for us. Thank you the memories in that Simba’s Jersey, I was a big fan, made it look so easy and sweet. RIP brother #Simba." Aliandika.

Hizi ni baadhi ya picha zake