Mwanamme huyo ambaye ni baba wa watoto watano alifumaniwa katika chumba kimoja alichokodi jana usiku kushiriki ngono na dadake mkewe kabla ya wawili hao kukwama majira ya alfajiri.
Wasimamizi wa chumba hicho waliskia vilio vya wawili hao na kulaziika kuvunja mlango
Mkewe mwanamme huyo aliwaambia wanahabari kwamba mumewe hajakua mwaminifu kwake na ndipo aliamua kutafuta usaidizi wa mganga ili aweze kumnasa.Anasema alilipa shilingi elfu 40 ili kupewa dawa hiyo ya mnaso
Mwanamume huyo anadaiwa kuondoka mjini Kisii wiki jana akidai kuwa ameenda jijini Mombasa kununua gari baada ya kuuaza shamba.
Wawili hao walifufuliza hadi nyumbani kwa mganga huyo, na baada ya kupakwa mchanganyiko wa dawa , wakatengana
Kwa sasa mwanamme huyo ambaye ametiwa nguvuni na maafisa wa polisi anatakiwa kulipa ada kwa mganga huyo kwa huduma ya kuwatenganisha.