Muhtasari
• Kamishna wa kaunti ya Kilifi Kutswa Olaka alithibitisha ajali hiyo na kusema kwamba watu wasiopungua 14 walijeruhiwa katika ajali hiyo.
• Walioshuhudia ajali hiyo walisema basi la kampuni ya Muhsin kuelekea Garissa lilikuwa likijaribu kupita gari lingine na likapoteza mwelekeo kabla kuogonga basi la Sabaki Shuttle.