Muhtasari
•Mwanamuziki huyo alipakia picha kwenye ukurasa wake wa Instagram asubuhi ya Jumatano akiwa mahali ambapo palionekana kuwa uwanja wa ndege huku akionekana kana mwamba alikuwa anahudumiwa na mmoja wa wahudumu pale.
•Apoko alipokuwa katika mahakama ya Kibera wiki iliyopita kushuhudia mwanablogu Robert Alai akisomewa mashtaka alisema kuwa angefunga safari kuelekea Afrika Kusini kwa matibabu zaidi akidai kuwa hali yake ya afya haikuwa njema.