Muhtasari
• Mgombea wa kiti cha mwakilishi wa kina mama katika kaunti ya Nairobi, Wangui Nganga amekana madai ya kuwa kwenye mahusiano na mzalishaji video katika mtandao wa YouTube, Thee Pluto.
• Akizungumza na moja ya wanahabari nchini, kiongozi huyo amesema kwamba yeye na Pluto ni rafiki wa karibu tu na wala hawajahi kuwa katika hali ya kimapenzi.
• Aidha amewarai wakaazi wote kujisajili kama wapigakura ili kuwawezesha kuwachagua viongozi wanaowapenda na ambao watashughulikia masilahi yao