Muhtasari
• Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvutaji sigara vinaongezeka miongoni mwa watu wazima katika angalau nchi 10 barani Afrika, na pia miongoni mwa vijana.