Muhtasari
- Kutoka visa hivyi 1,419 ni wakenya ilhali 40 ni raia wa kigeni .835 ni wanaume huku wanawake wakiwa 624 .
- Leo wagonjwa 780 wamepona na kufikisha 50,658 idadi ya watu waliopona corona
Watu 1,459 wamepatikana na virusi vya corona baada ya sampuli 10,146 kupimwa katika saa 24 zilizopita na kufikisha visa vya ugonjwa huo nchini kuwa 74,145 huku jumla ya sampuli zilizopimwa ikifika 815,0404.
Kutoka visa hivyi 1,419 ni wakenya ilhali 40 ni raia wa kigeni .835 ni wanaume huku wanawake wakiwa 624 .
Leo wagonjwa 780 wamepona na kufikisha 50,658 idadi ya watu waliopona corona .Hata hivyo watu 17 wameaga dunia na kufikisha 1330 idadi ya walioangamizwa na virusi hivyo . wagonjwa 1,116 wamelazwa katika hospitali mbali mbali huku 6,232 wakiwa chini ya mpango wa utunzi wa nyumbani .wagonjwa 59 wapo katika kitengo cha ICU