Muhtasari
- Hatua hiyo imejiri wiki moja baada ya Miguna kutangaza kwamba atagombea kiti hicho baada ya IEBC kutangaza tarehe ya uchaguzi mdogo .
- Kupitia taarifa mwenyekiti wa Thirdway Alliance Miruru Waweru amesema Miguna ndioye mgombeaji bora kulirejeshea hadhi jiji la Nairobi .