Podcast ya Yusuf Juma

Ni Mambo yepi hufai kumficha mwenzio katika uhusiano ama ndoa?#Podiyayusfjuma

Chunga usije ukaficha mambo ambayo yatakurudia na kuvuruga uhusiano wako

Muhtasari
  • Katika podi hii sikiliza kuhusu jinsi baadhi ya watu huamua kuficha baadhi ya mambo waliofanya ya kale ambayo baadaye huwafuata katika uhusiano mpya na kuleta matatizo 
  • Kuna wanawake kwa mfano ambao huficha kwamba walikuwa na watoto kabla ya ndoa ama uhusiano au wanaume wanaoficha kwamba waliwahi kuwa na mke
Podcast:Chunga usije ukaficha unayofaa kusema mapema
Image: Yusuf Juma

Kabla ya kuanza uhusiano ama kujiingiza katika ndoa unafaa kujua vi vitu gani kuhusu kaisha yako ya hapo mbeleni ambavyo hufai kumfiocha mwenzako ili usije ukajipata katika mgogoro mkubwa baadaye .

Kabla ya kuanza uhusiano ama kujiingiza katika ndoa unafaa kujua vi vitu gani kuhusu kaisha yako ya hapo mbeleni ambavyo hufai kumfiocha mwenzako ili usije ukajipata katika mgogoro mkubwa baadaye . Katika podi hii sikiliza kuhusu jinsi baadhi ya watu huamua kuficha baadhi ya mambo waliofanya ya kale ambayo baadaye huwafuata katika uhusiano mpya na kuleta matatizo . Kuna wanawake kwa mfano ambao huficha kwamba walikuwa na watoto kabla ya ndoa ama uhusiano au wanaume wanaoficha kwamba waliwahi kuwa na mke

Katika podi hii sikiliza kuhusu jinsi baadhi ya watu huamua kuficha baadhi ya mambo waliofanya ya kale ambayo baadaye huwafuata katika uhusiano mpya na kuleta matatizo . Kuna wanawake kwa mfano ambao huficha kwamba walikuwa na watoto kabla ya ndoa ama uhusiano au wanaume wanaoficha kwamba waliwahi kuwa na mke