Muhtasari
- Kuna waliofanya mpango ,uchumba na kadhalika hadi kuamua kufunga ndoa
- Lakini kunao waliojipata tu katika hali ya kuanza maisha katika ndoa bila kupanga
Katika Podi ya leo sikiliza jinsi watu walivyojipata katika ndoa bila mpango . Jamaa amefichua jinsi mwana dada alivyokatalia katika nyumba yao akifikiri ni mzaha kumbe kweli alikuwa amemba virago vyake vyote na kuhamia pale kama mke .Na hapo ndipo safari yao kama mume na mke ilivyoanza
Shirikiana,Wasiliana,Ungana au tangamana na Yusuf Juma Facebook:Yusuf Juma/Yusuf Juma-Kenya Instagram:@yusufjumaofficial Twitter:@YusufJumaKenya Email:yusufjuma86@gmail.com Youtube:Yusuf Juma-Kenya
Jamaa alifikiri ilikuwa mzaha kwamba mwana dada amebeba nguo zake zote ili kuhamia kwake kumbe alikuwa ashafanya uamuzi wa kuolewa bila uhusiano ,wala posa .